- 3,228 viewsDuration: 2:19Madai ya ubakaji yameibuka katika Shule ya watoto wasiokuwa na uwezo wa kusikia ya Kerugoya kaunti ya Kirinyaga. Mwanafunzi wa miaka minane anadai kubakwa na mwalimu ambaye tayari anakabiliwa na mashtaka kama hayo yanayomuhusisha mtoto mwingine katika shule hiyo.