Skip to main content
Skip to main content

Mwalimu mmoja anahangaikia matibabu ya ugonjwa wa figo

  • | Citizen TV
    239 views
    Gharama ya juu ya matibabu ya ugonjwa wa figo imemfanya Mwalimu mmoja mwenye umri wa miaka 34 kutoka Diani, Kaunti ya Kwale, kujipata kwenye njia panda. Maisha ya mwalimu huyo yalibadilika baada ya mkono wake wa kulia kupooza kufuatia hitilafu wakati wa matibabu ya kusafisha damu. Sasa mwalimu huyo ameshindwa kuendelea na kazi yake huku gharama ya juu ya upandikizaji wa figo ikimshinda.