- 644 views
Mdahalo wa nyumba za bei nafuu umo midomoni mwa wakenya wengi, iwe kwa hiari au kwa sheria. Lakini vipi kuhusu mpango wa nyumba? Mwanafunzi mmoja katika taasisi ya teknolojia ya Siaya amebuni mfano wa nyumba ambao anaamini utasaidia watu ambao wanataka kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine panapohitajika. Na jinsi mulindi carey anaripoti, vincentia ouko alichochewa na hali ya familia yake kuunda nyumba ya kuhamishwa ilipolazimishwa kukimbia nyumbani kwao kericho wakati wa machafuko ya baada ya uchaguzi wa 2007/08.
Mwanafunzi mmoja abuni mfano wa nyumba ambayo inayokunjwa na kuhamishwa
- 12 Aug 2025 - The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
- 12 Aug 2025 - Milimani Senior Principal Magistrate Carolyne Mugo issued the order following a request by the prosecution for three days to compile the report.
- 12 Aug 2025 - Nominated Senator Hezena Lemaletian has secured temporary court orders restraining her estranged boyfriend, Musa Hussein Lenyumpa, from harassing or contacting her in any way.
- 12 Aug 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
- 12 Aug 2025 - The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
- - Ojwang murder: Court orders pre-bail report in computer fraud case against Brian Rono
- - President Ruto: Youth are Kenya’s greatest asset in shaping the nation’s future
- 12 Aug 2025 - The university has been faced with numerous financial crises.
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
- 12 Aug 2025 - Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…