- 92 views
Mwanafunzi mwenye ulemavu wa macho katika shule ya Vipofu ya Thika alipata matokeo bora na kuibuka miongoni mwa wanafunzi bora katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne mwaka 2024 uliotangazwa hivi majuzi baada ya kupata alama ya A katika mtihani huo. Wakati huo huo, Mohamed Abdikadir kutoka Shule ya Upili ya Eastleigh aliibuka na matokeo bora baada ya kupata alama ya A-, alama ya juu zaidi ambayo shule hiyo imepata katika kipindi cha miaka 8 iliyopita. Mwanahabari wetu Opicho Chemtai na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanafunzi mwenye ulemavu wa macho apata alama ya A kwenye KCSE
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
- 19 Aug 2025 - Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs