Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi wa shule ya viziwi Kapsabet afariki, 10 wajeruhiwa katika msongamano wa kumsubiri Rais

  • | Citizen TV
    1,645 views
    Duration: 1:39
    Mwanafunzi mmoja wa shule ya upili ya watoto wasio na uwezo wa kusikia ya Kapsabet amefariki huku wengine 10 wakijeruhiwa baada ya kuanguka kwenye pishe pishe ya kumsubiri Rais William Ruto.