- 6,423 views
Maafisa wa DCI wangali wanamzuia Rose Njeri mwnaharakati akambaye anadaiwa Kukamatwa hapo jana kwa kile wanaharakati wenzake wanadai kwamba ni Kubuni mtandao italayotumika na Wakenya kuipinga mswada wa fedha mwaka wa 2025. Chama cha Mawakili nchini kupitia Rais wake Faith Odhiambo wamedai kwamba Juhudi zao kuhakikisha Njeri anawachiliwa zimeambulia patupu kwani hawajalubaliwa kumteta kama mawakili na kwamba tangu akamatwe hapo jana amenyimwa kuwachiliwa kwa dhamana. Baadhi ya Mawakili wakiongozwa na John Khaminwa walifika katika makao makuu ya DCI jioni ya leo kujaribu kumtetea Ila juhudi zao hazikufaulu. Kufikia sasa hakuna taarifa yoyote iliyotewa kuhusu sababu ya kukamatwa awake
Mwanaharakati wa mtandaoni Rose Njeri akamatwa
- 11 Aug 2025 - Colombian presidential candidate Miguel Uribe has died two months after being shot at a campaign rally, his family said Monday, as the attack rekindled fears of a return to the nation's violent past.
- 11 Aug 2025 - Speaking when he commissioned classrooms and a water Project, Funyula, Busia County, Mudavadi, the former DP was a bitter person who had spent his entire time on his US tour planting tribalism abroad.
- 11 Aug 2025 - The head of a powerful Tunisian trade union confederation called on Monday to defend the group after protesters backed by President Kais Saied levelled harsh accusations against it.
- 11 Aug 2025 - Kenya and the U.S. state of California are strengthening cooperation in technology, climate innovation, and sustainable development, President William Ruto announced on Monday.
- 11 Aug 2025 - Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
- 11 Aug 2025 - Data shows accidents have claimed 2,933 this year, with 80 deaths occurring over the past four days.
- 11 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
- 11 Aug 2025 - He said DJ Fatxo, who was linked to the death, was his mentee.
- 11 Aug 2025 - This follows a decision by US Congress to review of Kenya’s designation as a major non-NATO ally.
- 11 Aug 2025 - Seeing a young man happily walking arm in arm with an older woman in Nairobi streets is common.