- 587 views
Mtu mmoja ameaga dunia na mamia kusalia bila makao kufuatia mafuriko yanayoendelea sehemu mbalimbali nchini. Mwanamke wa miaka 60 na miwili alikufa maji baada ya kuzidiwa na mafuriko alipokuwa akivuka mto Thiba kaunti ya Kirinyaga. Haya yanajiri huku waathiriwa wa mafuriko ambao wameachwa bila makao sasa wakiirai serikali kuweka mikakati ya kudumu ili kuzuia mafuriko ya mara kwa mara.
Mwanamke afariki kufuatia mafuriko eneo la Gakungu Kirinyaga
- - Duniani Leo ››
- 30 Apr 2024 - Tuju had accused the lender of never paying the full loan amount.
- 30 Apr 2024 - Local leaders say various agencies are trying to repair the road.
- 30 Apr 2024 - Western region has been racked by political upheavals.
- 30 Apr 2024 - Kenyan retailers ready to pounce as Ethiopia to open up market
- 30 Apr 2024 - At least 48 killed after dam burst its banks
- 30 Apr 2024 - Flood of death
- 30 Apr 2024 - Poor investment climate hinders climate financial flows into Africa
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The government will now leverage technology and involve chiefs especially in border and cosmopolitan counties in the registration and issuance […]
- 30 Apr 2024 - •For in the world of football, as in life, it is not the victories that define us but the legacy we leave behind.
- 30 Apr 2024 - Wabule aims for a better outcome than last year's fifth-place finish in the championships held in Rwanda.