- 8,219 views
Watu wengi huogopa sio Tu kumkaribia nyoka Bali pia kumtazama tu. Hata hivyo Kwa Rukiya Mohamed kutangamana na nyoka imekuwa kama sehemu ya maisha yake. Afisa huyo wa shirika la KWS ni kiungo muhimu katika harakati za shirika Hilo za kudhibiti mzozo baina ya wanyama pori na binadamu, huku akiwa mwanamke WA pekee anayehudumu katika kitengo cha kudhibiti nyoka kwenye ukanda WA Pwani. Nilipata fursa ya kukutana naye akiwa kwenye pilkapilka za kazi yake na hii Leo ndiye tunayemvisha Taji la mwanamke Bomba.
Mwanamke Bomba |Rukiya Mohamed hutangamana na nyoka kila siku
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - UDA National Executive Committee deletes provision for three deputy leaders.
- 4 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 4 May 2024 - Medics walk out of meeting after refusing to sign the return to work formula.
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses