Skip to main content
Skip to main content

Mwanamume achomwa kwa maji moto na mpenzi wake, anatibiwa hospitalini

  • | Citizen TV
    4,668 views
    Duration: 2:28
    Mwanamume mmoja anauguza majeraha baada ya kuchomwa na maji moto na mwanamke anayesemekana kuwa mpenzi wake. Inadaiwa steve godia alivamiwa na mshukiwa usiku wa kuamkia tarehe 14 februari akiwa nyumbani kwake huko umoja 1, Nairobi.