- 45 views
Maafisa wa polisi katika eneo la Kiambaa kaunti ya Kiambu, wanamzuilia mshukiwa mmoja anayedauwa kumuua mtoto wa miaka minane. Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa polisi eneo la Kiambaa, Pius Mwanthi alisema jaribio la mshukiwa huyo la kutoroka liligonga mwamba pale alipoanguka kwenye shimo karibu na karibu na nyumba alikotekeleza mauaji hao na kuokolewa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wazimamoto. Mwanthi alisema mshukiwa huyo alijaribu kumuua mamake mtoto huyo lakini hakufaulu baada ya mama huyo kutoroka. Wakaazi wa eneo hilo wamelaani kitendo hicho wakitaka mshukiwa achukuliwe hatua kali za sheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanamume amuua msichana eneo la Kiambaa
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - President insists all Kenyans must pay their taxes and urges doctors to go back to work.
- 2 May 2024 - Everywhere there is gloom, and uncertainty about what happens next at Columbia University.
- 2 May 2024 - I am a co-creator in my own destiny
- 2 May 2024 - The women’s Olympic race slated for August 11, will cover a 42,195km loop linking Paris and Versailles.
- 2 May 2024 - Currently Kenya only hosts two tennis tournaments in a 52 week tennis calendar and Moss said the the World body was keen for Kenya to grow that number in the next three years.
- 2 May 2024 - Pushes to increase production capacity.
- 2 May 2024 - Mutua will be in the company of Diana Chebet, Joan Cherono, Jackline Nanjala, Rahab Wanjiru and Vanice Kerubo.
- 2 May 2024 - “With 86 days to the Olympics, we had a lot of discussions on who is suitable to fly the Kenyan flag at the Olympics. It was not easy,” said Tuwei.
- 2 May 2024 - Bola Edwards blends African arts with lessons on values and leadership
- 2 May 2024 - AK Nyanza South chairman Peter Angwenyi settled on Kisii University after inspecting the venue and Cardinal Otunga High School, Mosocho.