- 45 views
Maafisa wa polisi katika eneo la Kiambaa kaunti ya Kiambu, wanamzuilia mshukiwa mmoja anayedauwa kumuua mtoto wa miaka minane. Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa polisi eneo la Kiambaa, Pius Mwanthi alisema jaribio la mshukiwa huyo la kutoroka liligonga mwamba pale alipoanguka kwenye shimo karibu na karibu na nyumba alikotekeleza mauaji hao na kuokolewa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wazimamoto. Mwanthi alisema mshukiwa huyo alijaribu kumuua mamake mtoto huyo lakini hakufaulu baada ya mama huyo kutoroka. Wakaazi wa eneo hilo wamelaani kitendo hicho wakitaka mshukiwa achukuliwe hatua kali za sheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanamume amuua msichana eneo la Kiambaa
- 2 Jul 2025 - Uganda will require fuel distributors to blend locally produced ethanol into all petrol sold in the country starting next January, the energy ministry said on Tuesday, a measure that could reduce the East African nation's petroleum import bill.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has broken his silence on some of the most high-profile unresolved cases during his time in office, including the discovery of bodies in River Yala and the murder of then Independent Electoral and…
- 2 Jul 2025 - A Taliban diplomat will on Tuesday assume the role as Afghanistan's ambassador to Russia, the Islamist group's first top envoy to Moscow since seizing power in 2021, Russian state media reported.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang'i has weighed in on last year's Gen Z-led demonstrations that saw protesters breach Parliament, citing that the protests would have taken a different trajectory had he been occupying the security docket.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has questioned the efficiency of the National Intelligence Service (NIS) in light of claims that goons were hired to infiltrate recent anti-government protests, saying the agency should have known and…
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has rubbished claims that he is a political project of former President Uhuru Kenyatta, saying he is yet to align himself with any political party as he continues to consult across the political…
- 2 Jul 2025 - Report: Development partners to scale down focus on Kenya
- 2 Jul 2025 - Fate of NG-CDF billions in hands of Senate after MPs approve Bill
- 2 Jul 2025 - Pressure mounts on Ruto to sack security chiefs as Saba Saba nears
- 2 Jul 2025 - Gen Z protesters not saboteurs; they're patriots of the highest order