Skip to main content
Skip to main content

Mwanamume anauguza majeraha hospitalini baada ya kuchomwa kwa maji moto na mpenzi wake

  • | Citizen TV
    12,911 views
    Duration: 2:37
    Mwanamume mmoja anauguza majeraha baada ya kuchomwa kwa maji moto na mwanamke anayesemekana kuwa mpenzi wake. Inadaiwa kuwa Steve Godia alivamiwa na mshukiwa usiku wa kuamkia tarehe 14 Februari akiwa nyumbani kwake huko Umoja 1, Nairobi.