- 56 views
Mwanamume mmoja wa umri wa miaka 60 katika kijiji cha Kigoro katika eneo la Maragua Ridge , kaunti ya Murang’a ameuawa na mtu aliyejihami kwa shoka kwenye njama ya kuiba shilingi alfu-12 . Jane Waruguru, ambaye ni mkewe marehemu, Peter Kamau, pia anauguza majeraha ya kichwa pamoja na watu wengine wawili wa familia hiyo walioshambuliwa na mvamizi huyo. Kwingineko, mama mwenye umri wa miaka 67 amelazwa katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Baringo baada ya mwanawe wa kiume kumwagia maji moto kufwatia tofauti kati yao kuhusu tohara ya mjukuu wake .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #murdermystery
Mwanamume mmoja katika kijiji cha Kigoro auawa na mtu aliyejihami kwa shoka
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - Ukrainian drone and shelling attacks killed three people in Russia on Friday, while Russian bombardments on eastern Ukraine forced the evacuation of a maternity centre in Kharkiv and wounded nine.
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - His resignation coincided with another senior government official's resignation on the same day.
- 12 Jul 2025 - Canada's recent concessions to Trump appear to have yielded, to date, little result.
- 12 Jul 2025 - Singer and influencer Diana Marua was left surprised after her eldest son, Morgan, revealed his future marriage plans.
- 12 Jul 2025 - East African Legislative Assembly Member of Parliament (MP) David Sankok has shared a remarkable journey of how he
- 12 Jul 2025 - Gachagua spoke while in the US where he is currently in a tour.
- 12 Jul 2025 - 'If we did have our own capability, we would not have been left at the mercy of the West.' - Uhuru
- 12 Jul 2025 - Twalib says Ruto has empowered women and youth at the grassroots levels.