- 83 views
Mwanasheria mkuu Dorcas Oduor amekanusha ripoti kwamba muhuri wa serikali umeondolewa katika afisi yake. Akizungumza baada ya kuzindua kamati ya kushughulikia mpango wa matokeo ya dharura unaolenga kufuatilia kwa haraka utatuzi wa migogoro ya ardhi na mazingira, Oduor aliudhibiti mjadala huo kwa kusisitiza kwamba afisi yake inasalia kutambuliwa kisheria kuwa mtunzi wa muhuri wa serikali. Ripoti za awali za vyombo vya habari zilidokeza kwamba muhuri wa serikali ulikuwa umehamishwa hadi ofisi ya mkuu wa utumishi wa umma.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanasheria mkuu hatimaye azungumuza kuhusu muhuri wa serikali
- 30 May 2025 - U.S. Senate Foreign Relations Committee Chairman Jim Risch has condemned the recent surge in abductions across East Africa, warning that it reflects widespread impunity and a decay in governance.
- 30 May 2025 - MPs on Thursday grilled acting Kenya Airports Authority (KAA) Managing Director, Nicholas Bodo over dubious financial dealings involving the contentious Greenfield Terminal project at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
- 30 May 2025 - Kanyenyaini Ward Member of County Assembly (MCA) Grace Nduta, along with three other suspects, has been arraigned over alleged involvement in the suspected stage-managed abduction of Juja Member of Parliament George Koimburi.
- 30 May 2025 - The government through the Betting Control and Licensing Board (BCLB) has introduced strict measures on gambling advertisements to promote responsible gambling and protect minors from being exploited.
- 30 May 2025 - Ruto said despite the vast marine resources available, Kenya has barely scratched the surface
- 30 May 2025 - He said the government is building 47 County Aggregation and Industrial Parks, one in each county
- 30 May 2025 - This move comes after a 30-day suspension of all gambling ads across media platforms, initiated on April 29, 2025.
- 30 May 2025 - Gambling ads near schools, religious institutions are also prohibited
- 30 May 2025 - The DP is on Saturday, May 31, 2025, making a fourth visit to the county in a month.
- 30 May 2025 - Gov't urged to offer girls free sanitary pads