- 1,244 views
Familia moja katika kijiji cha Bula Mzuri kaunti ya Garissa ina wasiwasi mkubwa wasijue aliko jamaa yao Mohammed Ahmed Nur aliyetekwa nyara usiku wa kuamkia jana na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa usalama. Kulingana na walioshuhudia tukio hilo, watu hao walijaribu kufungua mlango wa nje wa nyumba alimokuwa Mohamed kwa nguvu na waliposhindwa waliruka ukuta na kuingia katika boma hilo. Watu hao kisha walimkamata mtu huyo na kutoweka naye kwa kutumia gari aina ya Land Cruiser. Familia ya jamaa huyo sasa inataka vitengo vya usalama kumwasilisha mahakamani iwapo alivunja sheria badala ya kumpeleka mahali isiyojulikana. Kwa upande wao Polisi wanasema familia imeandikisha taarifa na kwamba uchunguzi utafanywa kutegua kitendawili hicho.
Mwanaume akamatwa na watu wanaoaminika kuwa polisi Garissa
- 13 Jul 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has called on the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to put in place all necessary regulations and processes in preparation for the pending by-elections across the country and the 2027…
- 13 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli air strikes on Sunday killed more than 40 Palestinians, including at a market and a water distribution point, as talks for a ceasefire between Israel and Hamas stalled.
- 13 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki said the focus now is completion of these projects and commencement of others, calling on residents not to fall prey to those selling cheap and retrogressive politics.
- 13 Jul 2025 - A man was left with serious injuries on Sunday after being beaten by residents who suspected him of being a livestock thief in the Drys area of Ainapkoi, Uasin Gishu County.
- 13 Jul 2025 - Thousands of people streamed to a small Italian hilltop village not far from Rome on Sunday, to hear Pope Leo deliver his first Angelus prayer from his summer residence at Castel Gandolfo.
- 13 Jul 2025 - Residents of Giacai village in central Kirinyaga County are demanding immediate investigations into an incident where police officers allegedly stormed a local bar and roughed up customers for unknown reasons, injuring some.
- 13 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has rallied voters in Meru to support President William Ruto’s re-election bid in 2027, citing the Kenya Kwanza administration’s development record.
- 13 Jul 2025 - Drinking age to be raised and home deliveries of alcohol to be outlawed.
- 13 Jul 2025 - Indonesian authorities have foiled a smuggling attempt of more than 1,200 endangered Javan white-eye birds after discovering them stuffed into cages, they said Sunday.
- 13 Jul 2025 - Differing opinions from various camps may shape who takes over the influential role.