- 1,132 views
Shughuli ya kumpiga msasa mwenyekiti mteule wa IEBC Erastus Ethekon na makamishna wateule ilifanyika leo huku kamati ya masuala ya sheria ya bunge la kitaifa ikizua masuali kuhusu uhusiano kati ya walioteuliwa na maafisa wakuu serikalini. Mwenyekiti mteule Ethekon amekanusha madai ya kuwa na uhusiano wa karibu na naibu msimamizi wa ikulu Josphat Nanok. Kwa upande wake Hassan Noor Hassan aliyeteuliwa kuwa kamishna amekiri kwamba ana uhusiano na kiongozi wa wachache katika bunge la kitaifa Junet Mohamed.
Mwenyekiti mteule wa IEBC ajitetea mbele ya kamati ya bunge
- - Duniani Leo ››
- 2 Jun 2025 - Compensation of victims of police brutality during demonstrations was among issues ODM and UDA agreed to pursue in their deal.
- 2 Jun 2025 - Former Deputy President last week said he only wants his impeachment reversed and to be compensated.
- 2 Jun 2025 - President's speech disrupted in Kisii, Natembeya skips event and Mbarire accuses State officials of disrespecting her.
- 2 Jun 2025 - Finance Bill 2025 site: Activists demand the release of Rose Njeri
- 2 Jun 2025 - Deadly parasite mimics malaria, quietly claiming lives undetected
- 2 Jun 2025 - How Ngugi's pen landed him in prison and later sent him into exile
- 2 Jun 2025 - Old guards face rebellion as Western Kenya rethinks its future
- 2 Jun 2025 - Going back to the roots: State acts to save healing herbs
- 2 Jun 2025 - Natembeya's star shines in Western as DAP-K gives him a wide berth
- 2 Jun 2025 - Kenya honours its heroes when they die; it's now time for Ngugi