- 1,502 views
Hatimaye mwili wa mchimba mgodi wa dhahabu uliokuwa ukitafutwa kwa zaidi ya wiki moja sasa eneo la sigalagala eneo bunge la ikolomani umeondolewa. kupatikana kwa mwili huo kumefanya idadi ya waliofariki baada ya timbo kuporomoka kuwa watu wanne. Waokoaji kutoka kaunti za nyanza na kakamega walishirikiana kuupata mwili huo ambao ulikuwa tayari umeoza. serikali ya kaunti ya kakamega imeraiwa kutafuta huduma za waokoaji hapo kunapotokea janga kwani wana ujuzi wa kutosha. Aidha mashirika yanayoangazia usalama wa migodi nchini yameonya wachimbaji migodi dhidi ya kuendeleza shughuli zao bila magwanda ya kujikinga.
Mwili wa mchimba mgodi aliyekuwa akitafutwa wapatikana
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 18 Jul 2025 - If you believe the viral videos online, R. Kelly and Pope Leo XIV agree on one thing -- that Burkina Faso's junta chief, Captain Ibrahim Traore, is a fantastic leader.
- 18 Jul 2025 - Meta chief Mark Zuckerberg and other company board members settled a shareholder lawsuit on Thursday concerning decisions made in the wake of the Cambridge Analytica privacy scandal.
- 18 Jul 2025 - Ruto allies demand for thorough investigations into the recent chaos in the region.
- 18 Jul 2025 - At least 10 people attacked in rising crime wave in Lanet over the past six months.
- 18 Jul 2025 - His head was severely injured, nearly decapitated.
- 18 Jul 2025 - Transparency International’s latest report on bribery in Kenya makes for sobering reading: corruption has become an unofficial tax system that ordinary Kenyans must bear in what should be a painless process of seeking government services. As we report…
- 18 Jul 2025 - Vaccination is a Right and a Responsibility: Let's Secure Our Children's Future
- 18 Jul 2025 - Sh600m per acre: Eastleigh, South B now among Nairobi's most expensive neighbourhoods
- 18 Jul 2025 - How woman's loss took Kenya to the skies
- 18 Jul 2025 - Police claim Koimburi is an underground operative who must be brought back on surface