- 30 views
Baraza la madaktari na wataalamu wa meno nchini –KMPDC kimetakiwa kuimarisha msako wake dhidi ya hospitali ambazo zinahudumu bila leseni na zile hazijasajiliwa. Kulingana na katibu wa idara ya afya ya Umma Mary Muthoni, hatua hiyo italainisha sekta hiyo ambayo imevamiwa na madaktari bandia. Muthoni anasema ukosefu wa ujuzi umesababisha visa vingi vya upuuzaji wa kanuni za matibabu na kasoro katika kutambua magonjwa hali inayohatarisha maisha ya wagonjwa. Haya yanajiri huku chama cha maafisa wa matibabu kikitoa makataa ya siku 21 ya kutekelezwa kwa matakwa yao yakiwemo nyongeza ya mishahara la sivyo kiitishe mgomo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mzozo Sekta Ya Afya: Ilani ya siku 21 ya mgomo yatolewa
- 19 May 2024 - According to data from K-Note, a non-governmental organisation, Mai Mahiu, Longonot, Naivasha, and Kikopey towns are suffering as a result of the large number of truck drivers seeking services there.
- 19 May 2024 - The Pharmacy and Poisons Board has arrested suspects behind an illegal medicine distribution syndicate operating without licenses in Kajiado County.
- 19 May 2024 - The Law Society of Kenya has objected the planned deployment of 1000 police officers to troubled Caribbean island of Haiti.
- 19 May 2024 - The insurgent, Anywari Al Iraq, a Ugandan, was captured in the jungles of eastern Democratic Republic of Congo where the rebel group Allied Democratic Forces is based, the military, Uganda People's Defence Forces, said in a statement.
- 19 May 2024 - The medicines, intended for public use had allegedly been diverted for commercial sale in private chemists
- 19 May 2024 - The disease can lead to chronic inflammation of the organs, which can be fatal
- 19 May 2024 - One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Deputy President Rigathi Gachagua has surfaced in public after a week of cons**cuous silence in the country, marking his first […]
- 19 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday made his first public appearance amid rumours of a split within the ruling Kenya Kwanza coalition.
- 19 May 2024 - The study by Kemri has found that nearly one in 10 home had extremely high concentration levels