- 2,595 views
Taharuki imetanda katika kijiji cha mbeti katika mpaka wa Meru na Tharaka Nithi baada ya wakazi kutoroka makwao wakihofia kuvamiwa. Wakaazi hawa wakilazimika kulala nje ya kituo cha polisi cha Mitunguu, wakilalamikia vitisho siku nne baada ya zahanati eneo hilo kuteketezwa. Kisa cha punde kikijiri licha ya waziri wa usalama Profesa Kithure Kindiki kuagiza wakuu wa usalama kaunti hizo mbili kutatua mzozo huo.
Mzozo umeendelea kushuhudiwa katika kijiji cha Mbeti, mpkani mwa kaunti za Meru na Tharaka Nithi
- 12 Aug 2025 - The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
- 12 Aug 2025 - Milimani Senior Principal Magistrate Carolyne Mugo issued the order following a request by the prosecution for three days to compile the report.
- 12 Aug 2025 - Nominated Senator Hezena Lemaletian has secured temporary court orders restraining her estranged boyfriend, Musa Hussein Lenyumpa, from harassing or contacting her in any way.
- 12 Aug 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
- 12 Aug 2025 - The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
- - Ojwang murder: Court orders pre-bail report in computer fraud case against Brian Rono
- - President Ruto: Youth are Kenya’s greatest asset in shaping the nation’s future
- 12 Aug 2025 - The university has been faced with numerous financial crises.
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
- 12 Aug 2025 - Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…