- 51 views
Maelfu ya familia hukoMsambweni eneo bunge la Voi katika kaunti ya Taita Taveta huenda zikalala kwenye kibaridi baada ya nyumba zao kubomolewa na mjenzi wa kibinafsi. Mjenzi huyo wa kibinafsi anadai kumiliki ardhi ambako familia hizo zimeishi kwa miaka mingi. Familia zilizoathirika zimesema hazikupewa ilani yoyote ya kuwafurusha kabla ya ubomoaji huo. Baadhi yao walikuwa wameenda kazini huku wengine wakiamshwa na kamsa za majirani zao kwenye kisa hicho kilichotokea mapema asubuhi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mzozo wa ardhi I Maelfu ya familia Msambweni kulala kwenye kibaridi baada ya nyumba zao kubomolewa
- 5 May 2024 - Kenya is currently experiencing heavy rains that have led to flooding and water bodies breaking their banks, which in turn have led to loss of lives and destruction of property.
- 5 May 2024 - The Kenya Renal Association has called for the immediate suspension of the operating licenses for Mediheal Hospital in Eldoret over alleged unethical kidney transplants performed in the facility.
- 5 May 2024 - Cyrus Jirongo, a former Member of Parliament and Minister in late President Daniel Moi's regime, has set the record straight on the controversy surrounding the infamous Youth for KANU 92 (YK92) movement, and the allegations of massive printing of money…
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law
- 5 May 2024 - Boy in agony after he's beaten, burnt by father
- 5 May 2024 - Motorists plying the Kisumu- Nairobi highway have been forced to persevere an hours-long snarl-up at the Ahero area after river Nyando burst its banks on Saturday night forcing water to flow over the Ahero bridge.
- 5 May 2024 - The cyclone hit the Tanzanian coast with devastating effects but has since weakened in strength.
- 5 May 2024 - Kenya tobacco industry calls for factual, science-based approach in consideration of draft health warnings for tobacco products.
- 5 May 2024 - Interior Ministry confirms over 200 fatalities, mass displacements as rains wreak havoc