Skip to main content
Skip to main content

Mzozo waibuka baina ya familia mbili juu ya mwili wa marehemu Saumu Luvuno

  • | Citizen TV
    478 views
    Duration: 2:53
    Mzozo umeibuka kati ya familia mbili kuhusu mwanamke aliyeaga dunia na mwili wake kudaiwa kuondolewa kwenye makafani kinyume cha sheria. Saumu Luvuno alifariki tarehe 7 na mwili wake kuhifadhiwa makadara ila familia inadai kuwa mwili wake ulihamishwa na mumewe wa zamani hadi makafani ya Kilifi bila kuwahusisha. Familia hiyo sasa imeelekea mahakamani ikitaka mwili huo kurejeshwa kwao.