- 85 viewsKatika kijiji cha mbali cha Lobamba Lomdzala, nchini Eswatini, watoto wanakabiliwa na changamoto kutokana na mzozo ambao umewaacha maelfu ya mayatima, wakiishi katika hali mbaya. Katika jamii hii, watoto wengi wameachwa bila makazi au usalama wa kutosha, huku wengine wakikimbilia kuomba chakula, kwenye mitaa iliyojaa vumbi. Hata hivyo, katikati ya mgogoro huu, pia kuna hadithi za matumaini. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mzozo wawaweka watoto yatima Eswatin katika mazingira magumu
- 27 Apr 2024 - Twenty Cambodian soldiers have been killed in an ammunition explosion at an army base, Prime Minister Hun Manet said Saturday.
- 27 Apr 2024 - Hamas said it had received on Saturday Israel's official response to its latest cease-fire proposal and will study it before submitting its reply, the group's deputy Gaza chief said in a statement.
- 27 Apr 2024 - Britain's King Charles will return to public duties next week for the first time since being diagnosed with cancer as he makes good progress following treatment and a period of recuperation, Buckingham Palace said on Friday.
- 27 Apr 2024 - Kenya and Zimbabwe have agreed to enhance trade and investment in both countries, even as they signed agreements to boost some of the major sectors of the economy.
- 27 Apr 2024 - Immediate former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra's woes have thickened after auctioneers scheduled a date for the sale of his various properties situated in Uasin Gishu County.
- 27 Apr 2024 - KCB FC trounced defending champions Kakamega Homeboyz 1-0 to progress to the semifinals of the Mozzart Bet Cup at Dandora Stadium,Nairobi. Danson Namasaka’s solitary strike in the second half was enough to see the bankers through to the last four. The…
- 27 Apr 2024 - KCB FC trounced defending champions Kakamega Homeboyz 1-0 to progress to the semifinals of the Mozzart Bet Cup at Dandora Stadium,Nairobi. Danson Namasaka’s solitary strike in the second half was enough to see the bankers through to the last four. The…
- 27 Apr 2024 - Gucia Njūngwa yaku twīhīrīte na cia Ūtongoria Matūra-inī twīna Hon Anita Thumbi Kwanyu Mbura no iroira? Are you safe? The post Mwīhīrīto Ūtongoria Matūra-inī first appeared on KBC.
- 27 Apr 2024 - Gucia Njūngwa yaku twīhīrīte na cia Ūtongoria Matūra-inī twīna Hon Anita Thumbi Kwanyu Mbura no iroira? Are you safe?
- 27 Apr 2024 - According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.