- 36 viewsNchini Ghana, waganga wa kienyeji, ambao hapo awali waliheshimiwa kama wapatanishi na waponyaji wa kiroho, wanakabiliwa na maswali kuhusu umuhimu wao katika nyakati za sasa. Kijadi huonekana kama daraja kati ya ulimwengu wa kimwili na wa kiroho, waganga hawa walipata heshima kubwa katika kabila la Akan. Nana Manu, Mganga wa Kienyeji katika jumuiya ya Fumesua, anaeleza hadithi yake kama waganga hao bado wanashikilia hadhi yao katika jamii ya kisasa. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Nafasi ya waganga wa kienyeji yazua maswali Ghana
- 27 Apr 2024 - Hamas said it had received on Saturday Israel's official response to its latest cease-fire proposal and will study it before submitting its reply, the group's deputy Gaza chief said in a statement.
- 27 Apr 2024 - Britain's King Charles will return to public duties next week for the first time since being diagnosed with cancer as he makes good progress following treatment and a period of recuperation, Buckingham Palace said on Friday.
- 27 Apr 2024 - Kenya and Zimbabwe have agreed to enhance trade and investment in both countries, even as they signed agreements to boost some of the major sectors of the economy.
- 27 Apr 2024 - Immediate former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra's woes have thickened after auctioneers scheduled a date for the sale of his various properties situated in Uasin Gishu County.
- 27 Apr 2024 - According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.
- 27 Apr 2024 - Multi-agency teams drawn from NPS and NTSA have been deployed along major highways countrywide to man the traffic situation.
- 27 Apr 2024 - Mombasa has been projected to be a leading destination for tycoons in the next 10 years.
- 27 Apr 2024 - Liverpool's Premier League title hopes seem all but over after Michail Antonio scored to rescue a point for West Ham at London Stadium. Jarrod Bowen opened the scoring just before the break when he rose highest to meet Mohammed Kudus' cross into the…
- 27 Apr 2024 - The termination notices cite the physicians' ongoing absence from work as grounds for dismissal and a breach of their employment contracts.
- 27 Apr 2024 - Controversy has surrounded UDA's first round of elections, with claims now emerging that a dead man has won in a constituency in Nairobi.