- 1,407 views
Naibu Rais Rigathi Gachagua amewataka waendeshaji bodaboda kuhakikisha kuwa sekta hiyo haingiliwi na wahalifu wanaojifanya kuwa wafanyibiashara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango wa kutoka mafunzo wa Boda Yangu Ofisi Yangu, Gachagua aliwaonya waendeshaji bodaboda dhidi ya jaribio la kuruhusu magenge ya wahalifu haswa katika eneo la Mlima Kenya kuingilia Shughuli zao. Aidha aliwataka wahudumu wa bodaboda waheshimu sheria huku akisema polisi wamehimizwa kushirikiana nao kuhakikisha shughuli zinaendelea kama zinavyofaa Mpango huo wa mafunzo unafadhiliwa na mwakilishi wa kike wa kaunti Nyandarua Faith Gitau, chini ya hazina ya serikali ya jinsia. Waendeshaji bodaboda 256 watapokea mafunzo kuhusu jinsi ya kuweka akiba mbali na usalama barabarani na pia kujiunga na hazina ya matibabu NHIF.
Naibu rais Rigathi Gachagua awataka wanabodaboda kuwajibika
- 21 Aug 2025 - The Maasai Mara National Reserve has clarified on an unsettling incident where tourists were seemingly obstructing wildebeest crossing.
- 21 Aug 2025 - A senior Ugandan official denied on Wednesday a U.S. media report that the country had agreed to take in people deported from the United States, saying it lacked the facilities to accommodate them.
- 21 Aug 2025 - Kenya is in talks with China to convert a dollar-denominated railway loan into Chinese yuan, an aide to the finance minister, John Mbadi, told Reuters on Wednesday.
- 21 Aug 2025 - A 28-year-old man arrested in Kasarani, Nairobi, for allegedly making false documents is set to be arraigned in court on Thursday.
- 21 Aug 2025 - An aid convoy operated by the UN's World Food Programme (WFP) came under attack on Wednesday near the famine-hit Sudanese town of Mellit in North Darfur, the agency's spokesperson told AFP.
- 21 Aug 2025 - A fire on a US Navy ship off Japan was finally put out after 12 hours early Thursday, the US military said, after local vessels spent most of the night dousing the blaze.
- - Kitengela residents fundraise to revive stalled police Land Cruiser
- 21 Aug 2025 - Mumias Member of Parliament Peter Salasya has called out the Ministry of Health, Cabinet Secretary Aden Duale, for
- 21 Aug 2025 - Rwanda-backed M23 rebels killed at least 140 people in eastern Democratic Republic of Congo in July, Human Rights Watch said in a report on Wednesday that highlighted how violence remains elevated despite U.S.- and Qatar-backed peace talks underway.
- 21 Aug 2025 - Embakasi East MP Paul Ongili Owino, popularly known as Babu Owino, has raised concerns about the government’s fight