- 352 views
Naibu wa rais Rigathi Gachagua alikuwa katika shule ya msingi ya Komaroc katika eneobunge la Embakasi Central hapa jijini Nairobi katika siku ya pili ya mtihani wa KCPE na KPSEA. Rigathi amewaambia watahiniwa kuwa alifika shuleni humo mapema kuwatia moyo pamoja na kuwasilisha ujumbe wa rais kwao. Kulingana na Rigathi, serikali imejizatiti kuboresha mfumo wa elimu na kwamba rais atapokea ripoti ya kwanza wa jopokazi la kurekebisha mfumo wa elimu Ijumaa hii
Naibu wa rais Rigathi Gachagua awatia moyo watahiniwa Komarock
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - Move gives foreigners the green light to fully own their investments, repatriate capital and enjoy full protection.
- 25 Apr 2024 - Several Marsabit County top officials were also taken for questioning.
- 25 Apr 2024 - Survey shows schools have poor facilities and high levels of teacher and student absenteeism.
- 25 Apr 2024 - More than 10 people feared dead in Nairobi as President Ruto directs the formation of response team.
- 25 Apr 2024 - Deby’s top challenger is Succes Masra, an economist and opposition leader.
- 25 Apr 2024 - According to data by Red Cross, 24, 741 households have been adversely affected with 11,206 getting displaced
- 25 Apr 2024 - The bill now moves to the senate, where there is a good chance it will pass.
- 25 Apr 2024 - Abok said they will concentrate on strength and conditioning and skill work to stay ahead of their competitors.
- 25 Apr 2024 - The two Kenyan Premier League clubs will flex muscles for a semi-final slot on Saturday.