- 41 views
Kaunti ya Nairobi inaongoza kwa idadi ya wanaougua maradhi yanayotokana na ulaji wa chakula kisicho salama. Wizara ya afya inasema magonjwa zaidi ya mia mbili yanaweza kusababishwa na kula chakula kisicho salama. Tume inayobuni viwango bora vya chakula, codex , inasema ulimwenguni, asilimia sitini ya wanaougua magonjwa hayo ni watu wazima, na asilimia arobaini ni watoto. Tume hiyo imeitaka serikali ya Kenya kuwekeza katika afya ya umma ili kuhakikisha uzalishaji wa chakula salama.
Nairobi inaongoza kwa idadi ya wanaougua maradhi yanayotokana na ulaji wa chakula kisicho salama
- - Duniani Leo ››
- - LIVE: Upeo Wa TV47 ››
- - LIVE: TV47 News Now ››
- - Duniani Leo ››
- 29 Mar 2024 - Two people died while two others sustained injuries following an accident that involved two private vehicles at Rakwaro area on Rongo-Awendo highway in Migori County
- 29 Mar 2024 - Happiness levels in Kenya have dropped for the first time in five years.
- 29 Mar 2024 - Pope Francis, who often pleads for compassion to prisoners, washed the feet of 12 incarcerated women in Rome on Thursday in a rite marking Holy Thursday before Easter.
- 29 Mar 2024 - There are plans to foster collaboration among State agencies, local authorities and community leaders.
- 29 Mar 2024 - Their mother, Lusila Wairu Waweru, died in October, 2015.
- 29 Mar 2024 - He was blocked by two motor vehicles whereby seven men alighted and introduced themselves as police officers.
- 29 Mar 2024 - The unique loan is gaining traction and attracting interest from several countries including African states.
- 29 Mar 2024 - My dating affirmation is: Men with money are flooding at my gates
- 29 Mar 2024 - City traders get reprieve in tariff row but...
- 29 Mar 2024 - Mudavadi puts civil servants on notice over wastage of resources