Skip to main content
Skip to main content

Natembeya: Upinzani pia unashirikiana na Linda Mwananchi

  • | Citizen TV
    1,885 views
    Duration: 2:05
    Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya ambaye pia ni mwanachama wa muungano wa upinzani amesema kuwa muungano huo umeanzisha harakati za kumteua kinara mmoja atakayemenyana na Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza baada ya kuwapokea wazee kutoka jamii ya Agikuyu, Natembeya alisema kuwa muungano huo unaendelea kushirikisha kikosi cha Linda Mwananchi pamoja na viongozi wengine wa kisiasa ili kuunda upinzani dhabiti utakaoleta ushindani mkubwa kwenye uchaguzi mkuu ujao.