Nay wa Mitego: Mwanamuziki wa Tanzania mwenye tungo tata

  • | BBC Swahili
    34,042 views
    Mashabiki wake hupenda kumuita 'rais wa kitaa', Emmanuel Elibariki Almaarufu kama Nay wa Mitego @naytrueboytz ni miongoni kati ya wasanii wa muziki nchini Tanzania ambaye tungo zake mara kadhaa zinamtia matatani kutokana na mamlaka za udhibiti wa maudhui kutoridhishwa na tungo zake. Je ni kwanini ameamua kufanya aina hii ya muziki? Video: @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #tanzania #muziki Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw