- 147 viewsNchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki zimekubaliana kutangaza utalii kwa pamoja badala ya kila nchi kunadi utalii yenyewe ikiwa ni jitihada za kuinua utalii wa kanda nzima. Katika kongamano la tatu la utalii lililomalizika nchini Kenya, nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kuanzisha mchakato wa kuondoa hitaji la visa ilikuwarahishia watalii kuzuru mataifa hayo kwa wakati mmoja bila pingamizi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zakubaliana kuutangaza utalii kwa pamoja
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - As the country continues to experience heavy rainfall, most roads have been flooded hampering transport and disrupting daily activities.
- 5 May 2024 - Ferry services were suspended as a result of Cyclone Hidaya.
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law
- 5 May 2024 - Boy in agony after he's beaten, burnt by father
- 5 May 2024 - Doctors reject return-to-work plan
- 5 May 2024 - Ruto allies helped cement the idea of a silent handshake, asserting Raila must toe his line. Amisi faults Kenya Kwanza for thinking their support for Raila would buy his silence.
- 5 May 2024 - It comes a year after he wed wife Rebecca at a private ceremony in Kericho on May 6, 2023.
- 5 May 2024 - US embassy said successful Diversity Visa selection does not guarantee visa or interview.
- 5 May 2024 - The decision to remove three deputy UDA party leader slots appears as setback for Mudavadi.