- 161 views
Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano, NCIC imezidisha juhudi za kukuza amani shuleni kwa kutumia vilabu vya amani kama njia ya kuzuia utumizi wa mihadarati, ghasia, na uhalifu miongoni mwa wanafunzi, hasa katika maeneo ya Pwani Akizungumza katika shule ya upili ya Kwale High, Afisa Mkuu Mtendaji wa NCIC, Daniel Mutegi, amesema kuwa vilabu hivyo vimekuwa chombo muhimu katika kusuluhisha mizozo kati ya shule mbalimbali na pia baina ya walimu na wanafunzi. Alieleza kuwa vilabu hivyo vinalenga kuwalea wanafunzi kuwa mabalozi wa amani ndani na nje ya shule.
NCIC yahamasisha wanafunzi kuhusu umuhimu wa Amani
- 23 Jun 2025 - The High Court has raised serious concerns over the legality of the mandatory monthly deductions on salaried Kenyans to the Social Health Insurance Fund (SHIF), terming it potentially unconstitutional.
- 23 Jun 2025 - Honey Khatwani, a director at OKI General Trading Limited, was charged with stealing $2,786,174.40 (approximately Ksh.356,711,174.40) between January 1, 2020, and June 30, 2024, at Barbado within Nairobi County.
- 23 Jun 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has highlighted the government’s plan to empower the National Youth Service (NYS) to recruit 100,000 members annually.
- 23 Jun 2025 - High Court Judge Alexander Muteti has raised concern over the chronic shortage of judicial officers, warning that without adequate staffing, justice will remain elusive for many Kenyans.
- 23 Jun 2025 - Several activists have landed on the wrong side of the law for contravening the Act.
- 23 Jun 2025 - Mwaura had claimed that defaulters of the Hustler Fund will be denied access to services under SHA.
- 23 Jun 2025 - Judge says matter could not proceed due to ongoing cases at Court of Appeal and High Court
- 23 Jun 2025 - DIG Lagat said he was stepping aside in ‘good and conscious thought’ of his responsibility
- 23 Jun 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has announced that several investigation files will be forwarded to the Director of Public Prosecutions (DPP) on Monday, as it affirmed its commitment to accountability and transparency in dealing with…
- 23 Jun 2025 - Salaried employees are typically subjected to a 2.75 per cent deduction of their gross monthly income.