Ndege za Israel zashambulia kwa mabomu Gaza, 109 wauawa
Ndege za kivita za Israel zilishambulia kwa mabomu Gaza Ijumaa (Desemba 1) baada ya mazungumzo ya kuongeza muda wa siku saba za sitisho la mapigano na Hamas kuvunjika, ikisababisha Wapalestina waliojeruhiwa kufikishwa hospitali na wengine mitaani kutafuta hifadhi sehemu salama.
Maeneo ya mashariki ya Khan Younis huko kusini mwa Gaza yalikumbwa na mashambulizi ya mabomu mara baada ya sitisho la mapigano kumalizika alfajiri, huku moshi mkubwa ukisambaa angani, waandishi wa Reuters katika mji huo walisema.
Maafisa wa Afya Gaza waliripoti kuwa watu 109 wameuawa na darzeni wamejeruhiwa katika mashambulizi hayo ya anga ambayo yalipiga nyumba nane. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF
16 Aug 2025
- The state agency also listed requirements for applications.
16 Aug 2025
- Some of the cars for sale are Toyota Wish, Corolla and Prado.
16 Aug 2025
- Police have launched an investigation into the incident.
16 Aug 2025
- President William Ruto is scheduled to tour the United States next month for the 80th session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York, marking his first trip to the U.S. under President Donald Trump’s administration.
16 Aug 2025
- The killer Coptic roundabout in Mamboleo along Kisumu Kakamega highway has been dug out by unknown people last night following cases of road accidents in the area, with the latest claiming 27 lives, out of which 22 are set to be laid to rest today in…
16 Aug 2025
- The Democratic Republic of Congo (DRC) has raised objections over President William Ruto's nomination of a new Consul General to Goma, warning that such nominations require prior approval from Congolese authorities.
16 Aug 2025
- Politics can be messy, even desperate. But to cross the line into the indignification of women — reducing them to objects for male amusement — is not desperation. It is degradation.
16 Aug 2025
- The last days of July and the early weeks of August have been marked by a wave of
16 Aug 2025
- Kenya Power has issued a notice of planned power outages affecting parts of Nairobi, Machakos, Nakuru, and Mombasa
16 Aug 2025
- He described the voting process as irregular and predetermined.
16 Aug 2025
- Ghana international Semenyo took to Instagram after the game to show more racist abuse he had received.
16 Aug 2025
- Kipyegon clocked a blistering 8:07.04, the second-fastest time ever recorded over the distance
16 Aug 2025
- Deputy President Kithure Kindiki has warned opposition leaders against any attempts to destabilize the country to gain power, declaring such acts to be dangerous and unacceptable.