Ndege za Israel zashambulia kwa mabomu Gaza, 109 wauawa
Ndege za kivita za Israel zilishambulia kwa mabomu Gaza Ijumaa (Desemba 1) baada ya mazungumzo ya kuongeza muda wa siku saba za sitisho la mapigano na Hamas kuvunjika, ikisababisha Wapalestina waliojeruhiwa kufikishwa hospitali na wengine mitaani kutafuta hifadhi sehemu salama.
Maeneo ya mashariki ya Khan Younis huko kusini mwa Gaza yalikumbwa na mashambulizi ya mabomu mara baada ya sitisho la mapigano kumalizika alfajiri, huku moshi mkubwa ukisambaa angani, waandishi wa Reuters katika mji huo walisema.
Maafisa wa Afya Gaza waliripoti kuwa watu 109 wameuawa na darzeni wamejeruhiwa katika mashambulizi hayo ya anga ambayo yalipiga nyumba nane. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF
18 May 2024
- The county has set two conditions for landowners who want to enjoy the waiver.
18 May 2024
- Some of the affected landowners include individuals as well as county offices.
18 May 2024
- “Learners screamed for help. Everything was burnt to ashes," narrated a teacher who witnessed the incident.
18 May 2024
- Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
18 May 2024
- Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
18 May 2024
- The county has set two conditions for landowners who want to enjoy the waiver.
18 May 2024
- The MPs urged Kenyans to disregard claims of a rift in the ruling party.
18 May 2024
- At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
18 May 2024
- Some of the affected landowners include individuals as well as county offices.
18 May 2024
- NAIROBI, Kenya, May 18 — The death toll from a bus crash near Karen’s Hardy area has raised to nine after a survivor succumbed to injuries in hospital. National Police Service said it recorded eighteen injuries in hospitals after two people died at the…
18 May 2024
- Mr Kahiga said the DP deserved respect by virtue of his office.
18 May 2024
- Emase says the event is very deliberate in changing lives
18 May 2024
- Transport Principal Secretary Mohamed Daghar has lauded KPA’s initiatives which have seen the Port of Mombasa continue to record substantial annual increase in cargo throughput. Speaking Saturday at the KPA New Conference Room at a consultative meeting…