- 635 viewsIdadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Lebanon tangu ilipoanza kuwapiga wanamgambo wa Hezbollah wanaoungwa mkono na Iran, imefikia watu 3,365. Hesabu ya wizara ya afya ya Lebanon pia inasema idadi ya watu waliojeruhiwa imefikia watu 14,344. Jeshi la Israel IDF, limesema kwamba limeongeza operesheni zake za ardhini kusini mwa Lebanon, linapoendelea na mashambulizi ya anga mjini Beirut. Ndege za kivita za Israel zimeendelea kushambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Beirut, huku jeshi likidai kwamba linaendelea kuharibu darzeni ya mifumo ya kurusha makombora ya Hezbollah, nchini Lebanon. Israel imesema kwamba makamanda kadhaa wa Hezbollah wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni kusini mwa Lebanon. Wanamgambo wa Hezbollah nao wamesema kwamba wameshambulia sehemu za kaskazini mwa Israel kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubani na makombora. - AP #voaswahili #afrika #israel #syria #hamas #beirut #lebanon #hezbollah #malengo
Ndege za kivita za Israel zashambulia malengo ya Hezbollah kusini mwa Lebanon
- 5 Aug 2025 - Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
- 5 Aug 2025 - Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
- 5 Aug 2025 - Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
- 5 Aug 2025 - The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
- 5 Aug 2025 - The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
- 5 Aug 2025 - Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
- 5 Aug 2025 - The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
- 5 Aug 2025 - National Council for Population and Development warned that Kenya is not adequately prepared to support its ageing population
- 5 Aug 2025 - According to the CS, all schools will be affected.
- 5 Aug 2025 - This comes days after the application window for the September intake closed.