- 1,056 views
Ndugu wawili wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika kijiji cha Komo huko Thika kaunti ya Kiambu. Francis Karanja mwenye umri wa mika 42 na kakake Stephen Njoroge mwenye umri wa miaka 52 wanakisiwa kupata ugonjwa huo baada ya kula samaki waliovuliwa kutoka kijito kichafu cha Komo kijijini humo. kulingana na msimamizi wa hospitali ya Thika Level Five Daktari Robert Muchina, wawili hao walipimwa na kupatikana na kipindupindu kabla ya kufariki walipokuwa wakipokea matibabu. Maafisa wa afya wanafuatilia kisa hicho ili kuzuia msambao wa maradhi hayo hatari
Ndugu wawili wafariki kutokana na kipindupindu Thika, Kiambu
- - LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 27 Apr 2024 - Peter recently been firing salvos at President Ruto’s administration.
- 27 Apr 2024 - Ukraine warned Friday that Moscow was ramping up attacks on railways in a bid to disrupt military supplies ahead of a fresh Russian offensive while Kyiv waits for new US weapon deliveries.
- » Permanent and pensionable: Civil servants’ shocker as government seeks to curb spiralling wage bill27 Apr 2024 - Unionists, the opposition and legal experts have faulted the proposal for its legal shortcomings.
- 27 Apr 2024 - The iconic Treetops and Outspan hotels are set to reopen in May.
- 27 Apr 2024 - I get a panic attack every time I have a guest coming over and they call to say, “The pin is not very clear, please direct me.”
- 27 Apr 2024 - Mnangagwa reshuffled his cabinet, eight months after he appointed a new cabinet following his re-election in August 2023.
- 27 Apr 2024 - Noor asked philanthropists to devise long-term solution to empower youths to earn a living.
- 27 Apr 2024 - Supreme Court Judges say they were not satisfied with Tuju’s request for additional evidence.
- 27 Apr 2024 - Other factors are environmental, stress, dietary habits, late childbearing and lifestyle problems.
- 27 Apr 2024 - Limuru lawmaker wants authority to man all forms of transportation on land.