- 2,411 viewsWaziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, Jumatatu (Desemba 25) Alikutana na wanajeshi huko Kaskazini mwa Gaza, ofisi yake ilieleza. NetanyaWhu alifuatana na Naibu Mkuu wa Majeshi Meja Jenerali Amir Baram aliongea na wanajeshi na makamanda na kuahidi kuendeleza na mapigano hadi mwisho, iliongeza. “Hatutasitisha vita. Yeyote anayezungumzia kusimamisha mapigano – hakuna kitu kama hicho. Hatutasitisha mapigano. Vita vitaendelea mpaka mwisho,” Netanyahu alisema. Hamas na wanamgambo wadogo washirika wa Islamic Jihad, wote wameapa kuiangamiza Israel, wanaaminika kuwashikilia zaidi ya mateka 100 miongoni mwa wale 240 waliowateka wakati wa shambulizi la Oktoba 7 katika miji ya Israeli, walipowauwa watu 1,200. Tangu wakati huo, Israel imelizingira eneo finyu la Ukanda wa Gaza na kuligeuza kifusi. Takriban watu 20,700 wameuawa na mashambulizi ya anga ya Israeli, ikiwemo 250 katika kipindi cha saa 24 zilizopita, kulingana na taarifa ya mamlaka huko Gaza inayotawaliwa na Hamas iliyotolewa Jumatatu. Maelfu ya watu wanaaminika kuwa wamefariki bado wako chini ya kifusi. - Kwa mujibu wa vyanzo vya habari mbalimbali #Rafah #Netanyahu #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
Netanyahu akutana na wanajeshi na makamanda
- - FEASSA games day 2 ››
- - Consumer trends ››
- - Co-op Bank results ››
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 15 Aug 2025 - Kericho Governor Erick Mutai has been impeached. The embattled Governor was ousted after putting up a spirited defense throughout the day before the County Assembly.
- 15 Aug 2025 - A group of youth from Jacaranda in Embakasi who attended last Saturday’s State House empowerment event claim they never received the promised motorbikes and other items.
- 15 Aug 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has challenged President William Ruto to name those he accused of soliciting money from Cabinet Secretaries and Governors, citing that such remarks require proof.
- » Kajiado girls betrayed at birth: Minors face Obstetric Violence, sky-high bills and brutal neglect15 Aug 2025 - Kajiado is marked as one of the counties where maternal and sexual reproductive health violations and obstetric violence cases are rampant.
- 15 Aug 2025 - The DP on Friday graced Tiaty Economic Empowerment engagement at Chemolingot town in the constituency where he avowed the rolling out of key projects geared at improving the lives of the residents.
- 15 Aug 2025 - Charity Nyambura, recently single, does not do butterflies
- 15 Aug 2025 - Videos seen by the Star showed members physically restraining one another while others exchanged harsh words