Vita ambavyo vimekuwa vikiendelea nchini Sudan kwa muda wa miezi 11 iliyopita vimesababisha mamilioni ya watu kukumbwa na njaa.
Vita kati ya jeshi la Sudan na waasi wa Rapid Support Forces ilianza mwezi uliopita wa Aprili baada ya mzozo wa madaraka kati ya viongozi wa pande hizo mbili kuibuka.
Mzozo huo umesababisha moja ya maafa makubwa zaidi ya kibinadamu duniani.
Zaidi ya watu 14,000 wameuawa na mamilioni wamelazimika kuhama makwao.
#bbcswahili #sudan #jeshi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
10 May 2025
- The family of former provincial commissioner Isaiah Cheluget, who died seven years ago, has threatened legal action to stop any transaction on its disputed land in Narok South.
10 May 2025
- The United Democratic Alliance (UDA) disciplinary committee has summoned Nominated Senator Gloria Owoba over her conduct that contravenes the party's Code of Conduct.
9 May 2025
- Suppliers owed hundreds of billion shillings by the government will be paid before the end of the year, President William Ruto has announced.
9 May 2025
- Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga has advised the party's Secretary General Edwin Sifuna to tone down on his criticism of ODM leaders who joined the government under the broad-based partnership.
9 May 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga has defended his decision to politically cooperate with President William Ruto, emphasizing that post-election reconciliations are essential for national unity. He stated that after elections, it is crucial for leaders…