Vita ambavyo vimekuwa vikiendelea nchini Sudan kwa muda wa miezi 11 iliyopita vimesababisha mamilioni ya watu kukumbwa na njaa.
Vita kati ya jeshi la Sudan na waasi wa Rapid Support Forces ilianza mwezi uliopita wa Aprili baada ya mzozo wa madaraka kati ya viongozi wa pande hizo mbili kuibuka.
Mzozo huo umesababisha moja ya maafa makubwa zaidi ya kibinadamu duniani.
Zaidi ya watu 14,000 wameuawa na mamilioni wamelazimika kuhama makwao.
#bbcswahili #sudan #jeshi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
28 Apr 2025
- US President Donald Trump said Sunday he wanted Russia's Vladimir Putin to "stop shooting" in Ukraine and sign a peace deal, one day after the US leader met Ukraine's president at the Vatican.
28 Apr 2025
- The suspect in a Canadian car-ramming attack that left 11 dead at a Filipino street party was charged with murder, police said Sunday, adding that additional charges were anticipated. The suspect, identified as Kai-Ji Adam Lo, 30, of Vancouver, was…
28 Apr 2025
- Three Nobel Peace Prize-winning groups campaigning to eliminate nuclear weapons joined forces on Monday to urge the US and Russian presidents to meet and agree on significant denuclearisation. The joint appeal came from Japan’s atomic bomb survivors’…
28 Apr 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i is set to return to his Gusii region on Friday after a year’s absence. Matiang’i, who is positioning himself for a 2027 presidential run, will go on a meet-the-people tour before officially declaring his…