- 188 views
Waziri wa ardhi Alice Wahome amekanusha madai kuwa mfanyabiashara tata kutoka nchini Uturuki Harun Aydin aliyefurushwa humu nchini mwaka-2021 amepewa zabuni ya kujenga nyumba elfu-10 humu nchini chini ya mpango wa nyumba za gharama nafuu. Wizara hiyo hata hivyo, inasema Aydin alikuwa amewasilisha ombi la kupewa zabuni hiyo lakini hakufua dafu. Waziri aliyasema hayo baada ya mkutano na mhubiri James Ng’ang’a ambaye alinakiliwa akimfokea mwanamke aliyemuomba msaada wa kulipa kodi ya nyumba na badala yake akamwagiza kutafuta usaidizi katika mpango wa nyumba za gharama nafuu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Nyumba za Gharama Nafuu I Waziri wa ardhi akutana na mhubiri James Ng’ang’a
- 21 Mar 2025 - The World Health Organization (WHO) regional office in Africa found itself in an unprecedented situation when its Director Dr. Faustine Ndugulile succumbed while receiving medical treatment in India.
- 21 Mar 2025 - President William Ruto on Thursday met legislators from the Mt. Kenya counties at State House, Nairobi, ahead of his planned tour of the region.
- 21 Mar 2025 - Super Metro Ltd matatu sacco has filed an appeal with the Transport Licensing Appeals Board in Nairobi, challenging NTSA’s decision to suspend it, terming the move arbitrary and unjust.
- 21 Mar 2025 - A chief from Wajir County and a Huduma Centre official have been charged at the Milimani Anti-Corruption Court for allegedly tampering with national identity details.
- 21 Mar 2025 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has defended the government’s Universal Health Coverage program, Taifa Care, urging Kenyans to disregard political detractors attempting to derail its rollout.
- 21 Mar 2025 - The Council of Governors (CoG) has threatened to suspend services in county governments within 14 days if allegedly diverted funds to the devolved units are not immediately restored.
- 21 Mar 2025 - Kenya Met also listed areas to experience very cold nights.
- 21 Mar 2025 - They want the County Allocation of Revenue Act declared unconstitutional.
- 21 Mar 2025 - Arguments that the Speaker was at risk of suffering a 'monumental embarrassment' rejected.
- 21 Mar 2025 - On Tuesday, the US advised its citizens to exercise extra caution when travelling to Kenya.