- 188 views
Waziri wa ardhi Alice Wahome amekanusha madai kuwa mfanyabiashara tata kutoka nchini Uturuki Harun Aydin aliyefurushwa humu nchini mwaka-2021 amepewa zabuni ya kujenga nyumba elfu-10 humu nchini chini ya mpango wa nyumba za gharama nafuu. Wizara hiyo hata hivyo, inasema Aydin alikuwa amewasilisha ombi la kupewa zabuni hiyo lakini hakufua dafu. Waziri aliyasema hayo baada ya mkutano na mhubiri James Ng’ang’a ambaye alinakiliwa akimfokea mwanamke aliyemuomba msaada wa kulipa kodi ya nyumba na badala yake akamwagiza kutafuta usaidizi katika mpango wa nyumba za gharama nafuu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Nyumba za Gharama Nafuu I Waziri wa ardhi akutana na mhubiri James Ng’ang’a
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 5 Jul 2025 - Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
- 5 Jul 2025 - A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.
- 5 Jul 2025 - The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.
- 5 Jul 2025 - The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
- 5 Jul 2025 - The ex-DP, while speaking at a funeral, claimed his Kikuyu community was being targeted.
- 5 Jul 2025 - Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.