- 586 views
Obunga FC kutoka Nyanza ndio mabingwa wa makala ya nne ya Safaricom Chapa Dimba baada ya kuwarindima Pasc Langa kutoka bonde la ufa kupitia mikwaju ya penalti. Kufuatia sare ya moja moja kwenye mda wa kawaida, Obunga waliibuka mabingwa baada ya kushinda mikwaju 4-2. Upande wa wasichana Plateau Queens nao walihakikisha kuwa ubingwa wa kitaifa unasalia Nyanza baada ya kuwatitiga Barcelona Ladies mabingwa wa eneo la kati kwa mabao 5-0. Washindi wametunukiwa shilingi milioni moja huku waliomaliza wa pili wakiridhika na shilingi nusu milioni huku kikosi cha wachezaji 32 kitapiga kambi nchini uhispania kwa mazoezi ya kunoa vipaji vyao
Obunga, Plateau Queens taji la Safaricom Chapa Dimba
- 4 May 2024 - Tropical Cyclone Hidaya is expected to hit the country any time from the Indian Ocean with strong winds experienced for the better part of Friday evening.
- 3 May 2024 - Raila Odinga has intensified his criticism of President William Ruto's administration over its response to the ongoing heavy rains that have caused havoc countrywide.
- 3 May 2024 - The Tanzania Meteorological Authority (TMA) now says that the Tropical Cyclone Hidaya is decreasing in strength as it approaches the neighbouring country’s Coastal areas.
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - The government has released a total of Ksh. 2,082,697,000 for April payment to beneficiaries of the Inua Jamii programme.
- 3 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has come out to shed light on the expenditure of Ksh.144 million reportedly donated by the French Government to the ‘Dishi Na County’ school feeding programme.
- 3 May 2024 - Journalists urged to seek help when they face death threats.
- 3 May 2024 - He had been in remand since Wednesday night after he failed to raise Sh20m bond.
- 3 May 2024 - He was awarded Sh30,000 for winning the second edition of the competition held in Kisumu.