- 1,942 views
Kwa mara ya kwanza katika muda wa miaka 28, afisi ya mkuu wa sheria kwa ushirikiano na tume ya sheria ya Kenya imechapisha nakala ya sheria za Kenya kama notisi ya kisheria nambari 221 ya mwaka 2023. Hii ikiwa ni kulingana na vipengee vya sheria ya taifa hili. Ndani ya Nakala hiyo kuna mabadiliko ya sheria ya tangu mwaka 1995 hadi 2022. Hatua hii ina ainisha sheria za Kenya na ajenda ya serikali ya Kenya Kwanza kuhusu swala nzima la Wakenya kupata taarifa wanayohitaji. Uchapishaji wa nakala hii utawasidia wakenya kupata fursa ya kutangamana na sheria zilizopo kwa urahisi mbali na kutoa nafasi ya sheria kupatikana kwa njia ya kidijitali. Hafla hiyo ya uzinduzi ilihudhuriwa na Rais William Ruto na Mkuu wa Sheria Justin Muturi.
Ofisi ya Mkuu wa Sheria imechapisha nakala ya sheria
- - Teen Pregnancy ››
- - Politics of malice ››
- 21 May 2024 - Two men were on Tuesday arraigned before a Narok court and charged with two counts of ferrying donkeys without a veterinary officer’s permit after police intercepted 81 donkeys destined for an illegal slaughterhouse in the area on Monday.
- 21 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has vowed to continue with his mission to unite the Mt. Kenya region despite opposition from some quarters.
- 21 May 2024 - Former Governors could soon find themselves appearing before the Senate oversight committees to respond to queries by the Auditor General that point to outright theft of public funds.
- 21 May 2024 - Two former Embakasi South National Government Constituency Development Fund (NG-CDF) employees have been convicted of Ksh.2,199, 823 fraud.
- 21 May 2024 - The government will write off debts owed by coffee farmers' cooperative societies and unions as part of the intervention of revamping the sub-sector, Deputy President Rigathi Gachagua said on Tuesday.
- 21 May 2024 - Tropical Storm IALY hit the Kenyan Coast on Tuesday, bringing with it rain, storms and strong winds to the region.
- 21 May 2024 - The Prosecution has lined up 422 witnesses to prove 238 counts of manslaughter against Paul Nthege Mackenzie and 94 others in the Shakahola massacre case. Mombasa Chief Magistrate Alex Ithuku on Tuesday heard that besides the witnesses’ testimonies, the…
- 21 May 2024 - Gachaugua told mourners that he had taken a break to meditate, pray, and fast for the country inside the vast Mt. Kenya forest, a pilgrimage he is known to make.
- 21 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has announced that the center (eye) of Tropical Cylone Ialy will dissipate at 1.4 degrees South and 42.9 degrees East, just a few kilometers to the equator, on Wednesday May 22nd at 16:00 hours. The Director of…
- 21 May 2024 - Government Spokesperson Isaac Mwaura has defended the expenditure associated with President William Ruto's four-day State visit to the US.