Othman Masoud: Hofu ya wa Zanzibar kuhusu katiba mpya sio ya bure ni hofu halali ni hofu ya haki

  • | BBC Swahili
    3,019 views
    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema tayari imedhihirika kuwa suala la Katiba mpya ya Tanzania ni lazima hivyo linalohitajika sasa ni kuamua namna ya kutekeleza hitaji la watanzania lililobainishwa katika ripoti mbalimbali. . Katika mahojiano maalum na na mwandishi wetu Roncliffe Odit kuwa tayari watanzania wamejifunza masuala mengi yanayohitaji muongozo madhubuti wa Katiba mpya. . . . #zanzibar #siasa #katibampya