Skip to main content
Skip to main content

Peter Njuguna atajibu mashtaka Mei kuhusu mauaji ya Shantel

  • | Citizen TV
    613 views
    Duration: 52s
    Peter Njuguna ambaye ni mshukiwa mkuu kwenye mauaji ya mtoto Shantel Waruguru mwezi jana huko Rititi, Mathira kaunti ya Nyeri, atajibu mashtaka ya mauaji ya mtoto huyo mwezi mei, mwaka huu.