- 5,850 views
Wiki chache baada ya runinga ya Citizen kuangazia masaibu ya Afisa wa Polisi Clement Erumu aliyekuwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Elwak Mandera na akatoweka kazini kutokana na msongo wa mawazo baada ya kushuhudia wenzake wote wakiuawa na magaidi, idara ya Polisi imemwagiza aondoke kwao Lorugumu kaunti ya Turkana na aripoti katika makao makuu ya Polisi Nairobi,ili apate ushauri nasaha na kurejeshwa kazini . Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel, familia ya afisa huyo ambaye alikuwa amezamia kazi ya mjengo kijijini imeishukuru idara ya polisi kwa kuchukua hatua hiyo.
Polisi aliyetoroka kazini kutokana na msongo wa mawazo apewa ushauri nasaha Nairobi
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Duniani Leo ››
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - Attacks on Kamala Harris and Soipan Tuya highlight a global trend of undermining women's achievements through baseless accusations and cyberbullying.
- 27 Jul 2024 - Says his administration and the county government will partner in delivering the projects
- 27 Jul 2024 - The 44-year-old was found lying face down and unresponsive.
- 27 Jul 2024 - The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
- 27 Jul 2024 - Increased cases of crimes directly linked to irresponsible drinking, says commissioner.
- 27 Jul 2024 - Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
- 27 Jul 2024 - Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
- 27 Jul 2024 - Cemastea gives hands-on learning to help students excel in STEM
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?