Skip to main content
Skip to main content

Polisi auawa na wenzake watatu kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na magaidi kituoni Kakamega

  • | NTV Video
    9,304 views
    Duration: 2:22
    Afisa mmoja wa polisi ameuawa na wenzake watatu kujeruhiwa, akiwemo raia mmoja, baada ya shambulio la kikatili lililotekelezwa kwenye Kituo cha Polisi cha Musanda, kilichopo katika eneo la Mumias Magharibi, Kaunti ya Kakamega. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya