- 7,982 viewsDuration: 2:22Polisi katika eneo la Juja wamewakamata watu kadhaa baada ya kuwafumania kwenye madhabahu yanayoaminika kutumiwa kwa shughuli haramu. Inadaiwa kuwa watu hao, wanashukiwa kuwa wafuasi w akundi haramu la mungiki walikuwa wanaendeleza itikadi zenye madhara, ikiwemo ukeketaji wa wanawake