- 3,020 viewsDuration: 2:29Polisi katika kituo cha Soweto, eneo la Kayole, wanachunguza kisa cha unyanyasaji wa mwanamke mwenye umri wa miaka 25 aliye na ulemavu wa akili, ambapo anadaiwa kushambuliwa na jamaa wake, hali iliyozua hofu miongoni mwa wakazi wanaodai familia hiyo imeficha ukweli. Mamake mshukiwa amekamatwa huku msako dhidi ya mshukiwa ukiendelea.