Skip to main content
Skip to main content

Polisi mjini Nakuru wamenasa lita 2,000 za chang'aa

  • | Citizen TV
    2,306 views
    Duration: 3:02
    Maafisa wa polisi mjini Nakuru wamenasa pombe haramu aina ya chang’aa zaidi ya lita 2000 katika eneo la bondeni – Buruburu, Nakuru mashariki. Oparesheni dhidi ya pombe haramu na matumizi ya mihadarati katika kaunti hiyo inaendelezwa na maafisa wa usalama.