- 733 views
Maafisa wa usalama eneo la Nakuru Mashariki wanachunguza kisa cha mauwaji ya msimamizi wa kundi la uhalifu linalofahamika kama Mauki. Kamanda wa Polisi wa Nakuru Magharibi Edwins Ogwari amethibitisha kuwa msimamizi wa kundi hilo anayefahamika tu kama Kenito alivamiwa na kuuliwa na wakaazi baada ya kuhusika na wizi wa kimabavu eneo la Shabaab. Polisi hata hivyo wameendelea kushika doria kwenye maeneo ya Nakuru Magharibi huku wakizidi kuwasaka viongozi wa genge la uhalifu la Confirm na magenge mengine ambayo yanawahangaisha wakaazi wa Nakuru kwa kuhusika na wizi .
Polisi Nakuru wachunguza mauaji ya mhalifu aliyevamiwa na wakaazi
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 14 May 2024 - In total, 34,000 suspected cases have been reported in those areas since October -- more than three times the figure reported a month ago, according to data from the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA), run by Griffiths.
- 14 May 2024 - Nicodemus Langat Kipgorola appeared before Kabarnet Principal Magistrate Caroline Ateya on Monday and was charged under the Wildlife Conservation and Management Act of 2013.
- 14 May 2024 - Israel battled Hamas in Gaza on Monday, including in far-southern Rafah, despite US warnings against a full-scale invasion of the crowded city and of the threat of post-war "anarchy" across the Palestinian territory.
- 14 May 2024 - German police on Monday opened an investigation after a deep hole was discovered at the grave of former finance minister Wolfgang Schaeuble, who died late last year.
- 14 May 2024 - The court withdrew the matter under section 87(a) of the Criminal Procedure Code. The court further ordered that the cash bail he had deposited be released.
- 14 May 2024 - Learning in junior secondary schools (JSS) around the country failed to kick off for the second term as JSS teachers staged a countrywide protest to demand for employment on permanent and pensionable terms.
- 14 May 2024 - However, MPs from the Azimio coalition have sided with the Senate proposal, arguing that counties need more resources as they handle critical functions affecting Kenyans.
- 14 May 2024 - Woman gives birth to twins at rescue camp
- 14 May 2024 - Relief to parents as schools finally resume
- 14 May 2024 - MPs clear Linturi in fake fertiliser scandal