- 455 views
Viongozi kutoka Kaunti ya Baringo wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu mienendo ya polisi wa akiba maarufu NPR katika eneo hilo, wakiwashutumu kwa ulegevu wa kujibu mashambulizi ya ujambazi yaliyokithiri. Viongozi hao wanadai kuwa polisi hao wa akiba wameshindwa kuwalinda wakaazi na huku wakilaumiwa kwa kushiriki vitendo vya uhalifu ambavyo vimesababisha vifo vingi na kuhama kwa jamii. Viongozi hao wanatoa wito kwa serikali ya kitaifa kuchukua hatua mara moja kuchunguza majukumu na mienendo ya polisi hao wa akiba. Walisisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na si kuchangia vurugu zinazoendelea kukumba eneo hilo.
Polisi wa Akiba Baringo
- 30 Apr 2025 - President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
- 30 Apr 2025 - High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
- 30 Apr 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
- 30 Apr 2025 - The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
- 30 Apr 2025 - He said the region is willing to forgo the two top positions in favour of Matiang’i’s presidential candidacy.
- 30 Apr 2025 - Interior CS Kipchumba Murkomen reiterates government's commitment to support security officers to tackle security challenges.
- 30 Apr 2025 - NAIROBI, Kenya Apr 30 – Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of 100,000 Shillings each in a case where they are charged with the murder of a farmhand. The prosecution says the deceased is…
- 30 Apr 2025 - The High Court has barred the Inspector General of Police from deploying officers in civilian clothes or with concealed identities to manage public protests in the country.
- 30 Apr 2025 - Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of Ksh.100,000 each in a case where they are charged with the murder of a farmhand.
- 30 Apr 2025 - Currently, only the ELC has jurisdiction to enforce compensation from occupational accidents.