Skip to main content
Skip to main content

Polisi wachunguza kisa ambapo mwanafunziwa miaka 13 alibakwa na kuuawa Kisii

  • | KBC Video
    149 views
    Duration: 1:19
    Polisi katika kata ndogo ya Nyansancha eneo bunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii, wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi mwenye umri wa miaka 13 wa darasa la tisa alibakwa na kuuawa. Purity Atisia alitoweka siku nne zilizopita alipokuwa akilisha ng'ombe wao na dadake kabla ya mwili wake kupatikana katika shamba la mahindi. Babake, Nelson Atisia, anatoa wito kwa vitengo vya usalama kuharakisha uchunguzi ili waliotekeleza unyam huo waadhibiwe kisheria. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive