- 6 views
Bangi ya thamani ya shilingi milioni-10 ilinaswa katika eneo la Ellebor karibu na mpaka baina ya Kenya na Ethiopia. Bangi hiyo ilikuwa iliyokuwa ikisafirishwa kwenye gari aina ya Land Cruiser ilikuwa imepakiwa kwenye magunia-12. Naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Sololo, Edward Goko alifisia maafisa wa polisi na wenzao wa akiba kwa kumtia mbaroni mshukiwa mmoja. Goko aliwataka polisi zaidi wa akiba kupelekwa katika eeno hilo akisema kuwepo kwao kumeimarisha juhudi za kukabiliana na uahlifu katika kaunti ya Marsabit.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Polisi wanasa bangi ya zaidi ya shilingi milioni-10 eneo la Ellebor
- 20 Jul 2025 - The President dismissed claims that he had over-promised Kenyans, saying the pledges he made will be fully implemented and are raising the country’s ambition for transformation.
- 20 Jul 2025 - Activist to appear in court on Monday following his arrest on Saturday night.
- 20 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has called on politicians to refrain from making statements he says could compromise the operations of the newly reconstituted Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 20 Jul 2025 - Leaders have reaffirmed the national government’s commitment to improving road infrastructure in Nyandarua County.
- 20 Jul 2025 - The new fees to take effect in the next few weeks.
- 20 Jul 2025 - Voters headed to the polls earlier on Sunday for the tightly-contested upper house election.
- - Ruto to parents: If you surrender your children to the police, what do you expect?
- 20 Jul 2025 - Mwangi is currently being held at Pangani Police Station and will be arraigned on Monday.
- 20 Jul 2025 - Her roof and wall-leaking structure, which had been her home, was located in a swampy area.
- 20 Jul 2025 - Police used tear gas to disperse the leaders and crowd which had already gathered.