Mamia ya waandamanaji wamekamatwa wakati wa operesheni ya usiku katika Chuo Kikuu cha Columbia huko New York City.
Waandamanaji wanaounga mkono Palestina walikuwa wametawala jengo la chuo hicho hapo awali.
Idara ya Polisi ya New York inasema jengo na hema lililokuwa chuoni hapo limesambaratishwa.
Wakati huo huo, waandamanaji wanaounga mkono Israel walikabiliana na waandamanaji katika kambi zinazounga mkono Palestina huko Los Angeles, saa chache baada ya polisi kutawanya maandamano ya huko New York.
Vyuo vikuu vya Marekani vimekuwa na maandamano huku wanafunzi wakidai kususia makampuni na watu binafsi wenye uhusiano na Israel wakati wa vita huko Gaza.
#bbbcswahili #marekani #gaza Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Chinese foreign minister Wang Yi will visit India from Monday to Wednesday, China's foreign ministry said in a statement on Saturday, for talks about a disputed border in the Himalayas.
18 Aug 2025
- The high-profile meeting, set to take place at the KCB Leadership Centre in Nairobi, will bring together all MPs from the two parties under the framework of the broad-based government arrangement.
18 Aug 2025
- The inferno, which broke out earlier this week, claimed the life of one person while two minors are fighting for their lives at the Kenyatta National Hospital after sustaining severe burns.
18 Aug 2025
- In a strongly worded social media post, the former Gatundu South MP criticized what he termed the “broad-brush condemnation” of the Kikuyu community in the wake of the impeachment of former Deputy President Rigathi Gachagua. Kuria urged leaders to focus…
17 Aug 2025
- Overnight Saturday to Sunday, the Allied Democratic Forces carried out attacks against civilians in the town of Oicha, looting shops and setting fire to homes, according to accounts collected by AFP on the spot.
17 Aug 2025
- The meeting follows a summit in Alaska between Trump and Russian President Vladimir Putin that failed to yield any breakthrough on an immediate ceasefire that the US leader had been pushing for. 3