Skip to main content
Skip to main content

Polisi wavunja makundi ya wahalifu waliokuwa wakitekeleza uporaji Nairobi

  • | Citizen TV
    6,330 views
    Duration: 1:30
    Kamanda wa polisi hapa Nairobi, Issa Mohamud, amesema kuwa operesheni ya maafisa wa polisi imefanikiwa kuvunja makundi kadhaa ya wahalifu yaliyokuwa yakihusika na uporaji wa kutumia silaha na wizi wa simu za mkononi katika maeneo mbalimbali ya Nairobi.